NAPE AKIWA SINGIDAKWA ZIARA YA KIKAZI YA SIKU MOJA

 Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Nape Nnauye akizungumza na viongozi wa CCM mkoa wa Singida baada ya kuwasili kwa ziara ya kikazi ya siku moja leo Juni Mosi, 2012.
 Katibu tawala wa mkoa wa Singida, Liana Hassan (wapili kulia) akionyesha ramani ya jengo la utawala la hospitali ya rufani ya Singida ambayo ujenzi unaendelea. Kushoto ni Mwenyekiti wa CCM Singida, Jerome Alute
 Jengo la hospitali
Nape akikagua ndani ya majengo ya hospitani ya rufani Singida
Na Bashir Nkoromo

Posted by Bigie on 10:55 PM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.