TUME YA KUREKEBISHA SHERIA TANZANIA KATIKA BARAZA LA WAFANYAKAZI DAR ES SALAAM
habari za kitaifa 9:09 AM
Katibu Mtendaji wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania Agnes Mgeyekwa akizungumza katika kikao cha Baraza la Wafanyakazi wa Tume.
Katibu Msaidizi wa Tume (Mapitio) Angela Bahati akizungumza katika Baraza hilo, kushoto ni Mkurugenzi wa Utawala wa Tume Bw. Noah Mwaikuka.
Wafanyakazi wa Tume wakiwa katika kikao cha Baraza la Wafanyakazi.
Katibu Msaidizi wa Tume (Utafiti) Adam Mambi akichangia katika mkutano wa Baraza la Wafanyakazi wa TUMESHERIA Dar es Salaam.Picha na Munir Shemweta.