Updates: Mkurugenzi Mkuu athibitisha kuwa mpaka sasa watu 13 wamefariki na Majeruhi kufikia 20 , Tunaomba Radhi kwa picha mtakazo ziona

 Mkurugenzi Mkuu wa Hospitali ya Rufaa Dr.Sankey akithibitisha vifo vya Abiria 13 na Majeruhi 20
 Shuhuda aliye kuwa katika Ajali hiyo akitoka kutoa Ushahidi
 Miili ya Marehemu katika Chumba cha kuhifadhia maiti kwa ajili ya Utambuzi 
 Mamia ya watu wamefika Hospitalini hapo Kutambua Miili ya Ndugu zao
 Moja ya Maiti ikiwa Wodini kabla ya kupelekwa chumba cha kuhifadhia Maiti
 Watu Mbali Mbali wakielekea Kutazama Miili ya Marehemu
Watu wanazidi kumiminika kutazama Miili ya Marehemu Hospitalini Hapo

Posted by Bigie on 9:06 AM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.