AUNT LULU AFUKUZWA NA MWENYE NYUMBA BAADA YA KUNASWA WAKIFANYA MAPENZI CHOONI

MWANADADA asiyeishiwa na matukio Bongo, Lulu Mathias Semagongo 'Aunty Lulu' amefukuzwa kwenye nyumba aliyokuwa anaishi Kinondoni jijini Dar es Salaam kutokana na mmoja wa wanaume aliokuwa akiishi nao anayedaiwa kuwa 'si riziki' kufumaniwa akifanuya uchafu chooni.
 
Akizungumza na Mpekuzi, mmoja wa majirani wa Aunty Lulu ambaye hakutaka jina lake liandikwe alisema mwanadada huyo pamoja na wanaume aliokuwa akiishi nao walifukuzwa wiki iliyopita na mwenye nyumba baada ya kubaini kuwa, wanatumia chumba chao kufanya ufuska. “Yaani sijui kwa nini Aunty Lulu alikuwa anawang’ang’ania wale watu, yaani walikuwa wanatusumbua kweli mpaka mwenye nyumba kaamua kuwafukuza, kitendo cha kufumwa chooni siyo cha mara ya kwanza, hii ni mara ya pili,” alisema jirani huyo.

MWAN

Baada ya kupata habari hizi, mwandishi   alimtafuta Aunty Lulu ambapo alikiri kufukuzwa ndani ya nyumba hiyo kutokana na tabia za wanaume hao .

“Ni kweli, wale wanaume wameniharibia sana na sasa naishi kwetu huko Mbezi wakati natafuta chumba kingine,” alisema Aunty Lulu.

Posted by Bigie on 2:31 PM. Filed under , . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.