EDA SYLIVESTER ATWAA TAJI LA REDD'S MISS TEMEKE 2012 USIKU HUU


Eda Sylvester (katikati) akiwa na mshindi wa pili Flaviana Maeda (kushoto) na mshindi wa tatu Catherine Masumbigana (kulia).
 
MREMBO Eda Sylvester usiku huu amefanikiwa kutwaa taji la Redd's Miss Temeke 2012 katika kinyang'aniro kilichofanyika katika ukumbi wa PTA Sabasaba, Temeke jijini Dar es Salaam. 

Eda Sylvester mwenye umri wa miaka 21 anatoka katika kitongoji cha Kigamboni na Mwanafunzi chuo Kikuu cha Dar es Salaam akichukua Shahada ya Sanaa. Eda anapendelea kusafiri na kuangalia filamu.

Matarajio ya Eda ni kuwa msanii wa Kimataifa na mafanyabiashara mwenye mafanikio ya juu.

Posted by Bigie on 5:23 PM. Filed under , . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.