WAISLAMU WAFANYA MAANDAMANO JIJINI DAR KULAANI FILAMU YA KUMKASHIFU MTUME MOHAMMAD


 
Baadhi ya waislamu wakiwa na mabango yanayolaani filamu ya kashfa dhidi ya Mtume (S.A.W).
Mmoja wa waislamu akionyesha hisia zake wakati wa mkutano.
Askari wa Kikosi cha Kuzuia Ghasia (FFU) wakidumisha ulinzi eneo la mkutano.
Waislamu wakizidi kulaani kashifa hizo kwa nguvu zote.

MAMIA ya waumini wa dini ya Kiislamu leo wamefanya mkutano katika Uwanja wa Kidongo Chekundu uliopo jijni Dar es Salaam wakiwa na mabango yenye ujumbe mbalimbali wa kulaani filamu ya kumkashifu Mtume Mohammad. 

Katika mkutano huo viongozi wa dini hiyo walitoa tamko lenye vipengele kadhaa, ikiwemo kuiomba serikali kuufunga mara moja Ubalozi wa Marekani nchini.

Posted by Bigie on 3:22 AM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.