HATIMAYE PICHA YA PREZZO NA GOLDIE AKIWA JIJINI NAIROBI YASAMBAA MITANDAONI




Hivi karibuni kituo cha Channel O kilikuwa jijini Nairobi kikiwa na mastaa kibao wa Afrika na kurekodi O News kwenye ukumbi wa KICC. 


Mastaa hao ni pamoja na Channel O VJs Denrele wa Nigeria, Jokate, J Town wa Ghana na Flavia wa Uganda.
Kulikuwepo pia na wasanii kama Khuli Chana wa Afrika Kusini, Banky W wa Nigeria na Wizkid.

Lakini pia kulikuwepo na ujio wa Goldie ambaye alienda kimya kimya. 

Kuna picha ilisambaa wiki hii inayomuonesha msichana mwenye nywele kama za Goldie akiwa na Prezzo japo sura haikuwa inaoenaka. 

Sasa kumepatikana picha inayowaonesha vizuri mastaa hao na kuthibitisha tetesi hizo huku ikionesha kuwa wapenzi hao wa BBA wanaelewana vizuri kwa sasa

Posted by Bigie on 4:20 PM. Filed under , , . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.