USAILI WA MAISHA PLUS 2012 DAR WAVUNJA REKODI......


Zile auditions za reality show ya Maisha Plus 2012 ambayo tayari imeanza kuruka kupitia TBC1 kila siku kuanzia saa 4 usiku, zimefanyika jana pale Millenium Tower.

Hivi ndivyo watu walivyojitokeza kwa wingi katika auditions hizo. Waandaaji wanasema walitarajia kupata washiriki wengi lakini hawakutegemea wangekuwa wengi kiasi hiki hivyo idadi hii kubwa ya waliojitokeza hapo jana imevunja rekodi.


Leo ni siku ya pili ya auditions hizo ambazo zilipangwa kufanyika kwa siku mbili.

Posted by Bigie on 11:53 AM. Filed under , . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.