USAJILI WA MWISHO WA MAISHA PLUS UTAFANYIKA JUMATATU SEPTEMBA 24


Nafasi ya mwisho ya kuaudition kwa ajili ya kushiriki shindano la Maisha Plus  itafanyika jijini Dar es Salaam siku ya Jumatatu, Septemba 24 pale Millenium Tower, Kijitonyama.
Wale waliochukua fomu na ambao bado hawajachukua, wafike Millenium Tower ghorofa ya kwanza waulizie KP Shop.

Kwa wale wenye ndoto ya kushiriki katika shindano hili mwaka huu, Jumatatu ndio itakuwa siku ya mwisho kujaribu bahati yao kwani ukiikosa itabidi usubiri mpaka mwakani.

Kwa wapenzi wa shindano hili stay glued to TBC1 kwasababu soon burudani itakufuata sebuleni kwako.

Posted by Bigie on 11:25 AM. Filed under , . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.