K-LYINN AJIFINGUA MAPACHA


Aliyewahi kuwa Miss Tanzania, Jackline Ntuyabaliwe aka K-Lynn amejifungua watoto mapacha.

Kwa mujibu wa vyanzo, K-Lyinn amejifungua mapacha wa kiume wenye afya njema.

Mpekuzi  inampongeza Jackline kwa kujifungua salama

Posted by Bigie on 7:33 AM. Filed under , , . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.