MAUNO YA SHILOLE YAWAPAGAWISHA ASKARI

WAKATI SHILOLE ANAPERFORM FIESTA 2012, ALIWADATISHA MPAKA ASKARI NA MABAUNSA......






 Nilichokigundua ni kwamba askari pamoja na kikosi cha mabaunsa waliokua mbele kabisa kuhakikisha usalama unakuepo, wote waligeuka kuangalia stage baada ya Shilole na dancers wake kudatisha kwa jinsi walivyokua wanacheza, yani jamaa walijiachia kabisa.

Posted by Bigie on 9:19 AM. Filed under , , , . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.