MILOVAN ANASWA AKIGONGEA NAMBA ZA SIMU KWA JOKATE


Kocha mkuu wa simba, Milovan alinaswa akigongea namba za simu kwa miss tanzania namba 2,2006, Jokate Mwegelo.....

Tukio hilo lilishuhudiwa na mwandishi wetu octoba tatu mwaka huu ndani ya uwanja wa taifa jijini dar muda mfupi baada ya mechi ya simba na yanga kumalizika......

Milovan alionekana akiomba namba za simu za mrembo huyo mara baada ya kumalizika kwa mazungumzo yao yaliyohusisha mechi hiyo......

Simba  ndo ilitangulia  kufunga na baadae yanga wakasawazisha

Posted by Bigie on 12:44 PM. Filed under , , , , . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.