MILOVAN ANASWA AKIGONGEA NAMBA ZA SIMU KWA JOKATE
habari za kitaifa, JOKATE MWEGELO, MILOVAN, SIMBA, YANGA 12:44 PM
Kocha mkuu wa simba, Milovan alinaswa akigongea namba za simu kwa miss tanzania namba 2,2006, Jokate Mwegelo.....
Tukio hilo lilishuhudiwa na mwandishi wetu octoba tatu mwaka huu ndani ya uwanja wa taifa jijini dar muda mfupi baada ya mechi ya simba na yanga kumalizika......
Milovan alionekana akiomba namba za simu za mrembo huyo mara baada ya kumalizika kwa mazungumzo yao yaliyohusisha mechi hiyo......
Simba ndo ilitangulia kufunga na baadae yanga wakasawazisha

