WASANII WA BONGO WALIVYOIPAMBA SERENGETI FIESTA 2012

Msanii Diamond akilishambulia jukwaa la Fiesta usiku huu.
Linah nae akifanya vitu vyake jukwaani.
Msanii Ommy Dimpoz na kundi lake wakionyesha machejo yao stejini.
Shetta akiwarusha mashabiki ndani ya Leaders Club usiku huu.
Wasanii wa kundi la Wanaume Family wakifanya vitu vyao stejini.

Posted by Bigie on 8:42 PM. Filed under , , , , , , . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.