MITUNGI YAWAPONZA NISHA NA BABY MADAHA



MASTAA wa filamu Bongo, Salma Jabu ‘Nisha’ na Baby Joseph ‘Baby Madaha’ juzikati walijikuta wakiingia kujisaidia choo cha kiume bila kujielewa.


Ishu hiyo iliyopigwa chabo na mpekuzi wetu, ilijiri hivi karibuni katika hoteli moja jijini Dar wakati mastaa hao walipokuwa wakimpongeza Flora Mvungi kutokana na kufanyiwa sherehe ya kumtolea mahari.


Pasipo kujielewa baada ya kilevi kufika mahali pake, wauza nyago hao waliovamia gemu la muziki, walijikuta wanazama katika choo cha kiume kwenda kujisaidia haja ndogo (angalia picha hapo chini)


Posted by Bigie on 1:37 AM. Filed under , , , . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.