"MIMI SI MSAGAJI NA SINA UHUSIANO WOWOTE NA NAY WA MITEGO"....NISHA


Msanii wa  tasnia ya filamu Bongo,anaye julikana kwa jina la SALMA JABU a.k.a NISHA amefunguka zaidi kuhusiana na skendo iliyowahi kumkuta ya kuwa yeye ni msagaji na kusema ni skendo iliyokua inamnyima usingizi kwa kuwa alivyojieleza sivyo ilivyokua kutokana tu na kutokua na upeo wa kujielzea kutokana na uchanga katika sanaa kipindi hicho....

Pamoja na kukataa  kuwa  yeye si msagaji, NISHA  amefunguka na kudai kuwa hana uhusiano wowote na Nay wa Mitego na kuongeza kuwa  hakuna lolote linaloendelea zaidi ya yeye kupenda tu show za ney wa mitego na si vinginevyo

Nisikuchoshe msomaji wangu, msikilize Nisha  akijieleza mwenyewe mbele ya mpekuzi wetu ......Katikati ya interview kuna mziki kidogo, halafu mwishoni interview  inaendelea


Posted by Bigie on 12:44 PM. Filed under , , , , . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.