"NILIANZA KUSIKIA KIZUNGUZUNGU NA KUONA GIZA NENE KABLA YA GARI YANGU KUPINDUKA"....NISHA



NISHA ambaye ni msanii wa filamu  hapa nchini ameamua kuvunja ukimya   na  kusimulia kinagaubaga juu ya ajali iliyomtokea majuzi wakati akitoka location na kusema kuwa kabla ya kupata ajali alikua mzima kabisa na aliweza kufanya kazi zake zote locationa mpaka mida ya saa saba za usiku...

"Wakati anarudi nyumbani anasema alifika sehemu akajisikia kizunguzungu na kuona kiza baada ya hapo ndipo aliposhtukia akiingia porina na gari kupinduka na kupata ajali hiyo".....NISHA

Nsha anadai kuwa  hataki kulihusisha tukio hilo na kitu chochote bali ni mipango ya mwenyezi mungu na amesema kwa sasa hali yake si nzuri sana hivyo anaomba watanzania wamuombee ili aweze kupona haraka na aweze kurejea katika shughuli zake kama kawaida

DIAMOND NAYE ANUSURIKA  KUFA.....
Juzi Diamond akiwa na gari lake alipata ajali ambayo ilisababisha sehemu ya mbele kuharibika. Kwa mujibu wa meneja wake, Raqey Mohamed wa I-View Media ajali hiyo ilisababishwa na mwendesha pikipiki..

Posted by Bigie on 12:57 AM. Filed under , , . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.