SAKATA LA MWANAMKE ALIYEJIFUNGUA MTOTO ANAYEFANANA NA CHURA.....


Hujafa hujaumbika......

Mwanamke mmoja  amejikuta katika  wakati mgumu  baada  ya  kujifungua  mtoto mwenye  uso  na  kichwa kama  chura.......

Mwanamke  huyo  ambaye ni mama  wa  watoto  wawili  amedumu na mimba hiyo kwa miezi  13...Wengi  waliamini kuwa  mama  huyo  alikuwa  na  mimba ya  mapacha.......

Akiongea  kwa huruma, mume  wake  amedai  kuwa  kuna mkono  wa mtu. maana nyoka hawezi kuzaa  ng'ombe na kondoo  hawezi  kuzaa samaki......

Yeye  pamoja na mkewe wameamua kumwachia mungu na kwamba wapo tayari  kumlea mwanao japo ana kichwa cha  chura.....

Posted by Bigie on 3:42 AM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.