"MAKALIO YANGU HUNIFANYA NISIVAE NGUO ZA NDANI"......SNURA MUSHI


 snura mushi.....
Huyu naye ni msanii wa flam aliyeamua  kuyanadi makalio  yake  katika  mitandao  mbali mbali.......Siku  hizi imekuwa  fashen.....Kibaya  chajiuza....!!! 
 ---------------------------------------------------

>>>“Tangu nikiwa mtoto nilikuwa na makalio na haya nimerithi kwa bibi yangu kwani alikuwa mnene sana.” 


>>>“Usumbufu ni mkubwa sana kutoka kwa wanaume, baadhi yao ukipita wanakuomba namba za simu.”


>>>“Natamani kupungua kidogo juu lakini siyo makalio kwa sababu hili ni pambo kwenye kazi yangu ya muziki.”

  >>>“Huwa napenda kuvaa magauni marefu kwa sababu huwa najiona ninapendeza, shepu yangu inaonekana vizuri na nimejisitiri pia.”

>>>“Sijui saizi kwa sababu huwa sivai nguo  za  ndani.”
 

Posted by Bigie on 3:35 AM. Filed under , , . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.