”LOVE BIRDS” WAJITOA PAH ONE



Taarifa zilizogonga vichwa vya habari katika uwanja wa burudani Bongo ni kwamba kundi lililowahi kutamba na ngoma kali la Pah One limevunjika rasmi after First Lady wa kundi hilo mwanadada Aika na mpenzi wake Nahreel, Rapper ambaye pia ni Producer wa kundi hilo kutangaza kujitoa kwenye kundi.
Akichonga nasi Aika amesema sababu ya iliyomfanya ajitoe kundini ni kutokuwa na maelewano mazuri ndani ya kundi hilo na kuongeza kuwa Nahreel ni Solo Artist so wasilaumiwe kwa uamuzi wao na mapenzi yao yasihusishwa na kujitoa kwao katika kundi.


Nahreel na Aika wanatarajia kuachia ngoma yao ya kwanza wakiwa kama Solo Artists Siku ya Valentine mapema mwezi huu.

Posted by Bigie on 12:53 AM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.