HII NDO SCANDAL YA BENJAMIN
habari za kitaifa 12:58 AM
Mkali Benjamin wa Mambo Jambo ambaye ni msanii kutoka Art In Tanzania aliye-hit na ngoma kibao kama Nimefulia, My Friend na nyingine zilizomzolea mashabiki lukuki, Mwaka huu amejipanga vyema kwa kudondosha mawe kibao.
Benjamin ametoa nafasi kwa mashabiki wake muhimu kusikiliza ngoma yake mpya inayokwenda kwa jina la ”Scandal”. Bofya hapo chini kusikiliza ngoma hiyo.
