Msanii wa kundi la TMK Wanaume Halisi afariki dunia



Msanii wa kundi la Wanaume Halisi linaloongozwa na Juma Nature , Baraka Masale Sekela aka BK, amefariki dunia leo asubuhi.


Kwa mujibu wa blog ya Sam Misago wa East Africa Radio, taarifa hizo zimetolewa na member wa kundi hilo la TMK Wanaume Halisi, Rich One.

Amesema sababu za kifo cha BK ni matatizo ya tumbo na ini yaliyokuwa yakimsumbua kwa muda mrefu.

Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi...Amen

Posted by Bigie on 5:25 AM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.