TAZAMA JINSI WATOTO WALIVYOVAA KAMA BEYONCE NA RIHANNA KWENYE REDCARPET YA TUZO ZA GRAMMY 2013


Beyonce.
Picha zote za mastaa unazoziona hapa zinaonyesha jinsi walivyovaa kwenye Redcarpet ya tuzo za Grammy 2013 ambapo kwa ubunifu wake, Tricia Messeroux aliamua kufanya project ya kuwapiga picha watoto ambao wanafanana na baadhi ya mastaa waliotokelezea kwenye Grammy na kuwavalisha kama wao….
Rihanna.
Adele.
Justin Timberlake.
Taylor Swift.

Posted by Bigie on 11:08 PM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.