KIM KARDASHIAN AWATUKANA WA NIGERIA NA KUDAI KUWA WANAFANANA NA MASOKWE


Kim Kardashian kweli? Ni kweli kaitukana Nigeria kiasi hiki? Tweet yake inayodaiwa aliiandika jana imeleta shida kubwa kwa wananchi wa Nigeria na Afrika kwa ujumla baada ya kutweet:

kim
Si tu alisema Nigeria ni nchi inayokera lakini pia anasema wanawake wake wanafanana na sokwe!! 

Hata hivyo Kim amekanusha kuandika tweet hiyo na kusema imetengenezwa. “I see there’s a photo shopped tweet floating around, supposedly something I said about Nigeria. That was NOT me, or my feelings. That fake tweet is very disturbing & I would NEVER EVER tweet something like that.”

Hiyo sio mara ya kwanza msanii wa Marekani kuidiss Afrika. November 21 mwaka jana , Keri Hilson aliingia matatani baada ya kuidiss Ghana:
keri-hilson-africa-tweet
hilson1d710
Naye alikanusha kwa kudai kuwa tweet hiyo ilitengenezwa.
keri-tweet-response

Posted by Bigie on 1:22 PM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.