MWANAFUNZI APEWA KICHAPO KIKALI BAADA YA KUMTONGOZA MWALIMU WAKE...
habari za kitaifa 12:29 PM
Mwanafunzi mmoja wa kidato cha Nne katika shule ya kutwa ya Sekondari Mataka, wilayani Tunduru huko Ruvuma, Mussa Habibu amenusurika kifo baada ya kupigwa na walimu saba kwa tuhuma za kumtongoza mwalimu wake.
Mtuhumiwa alipohojiwa akiwa hospitalini, alijitetea kuwa si yeye aliyetamka maneno hayo bali ni pacha wake.
Inaelezwa kuwa mwanafunzi na mwalimu huyo walikutana katika nyumba moja walimojihifadhi kukwepa mvua.....
Habari zaidi baadaye
Mtuhumiwa alipohojiwa akiwa hospitalini, alijitetea kuwa si yeye aliyetamka maneno hayo bali ni pacha wake.
Inaelezwa kuwa mwanafunzi na mwalimu huyo walikutana katika nyumba moja walimojihifadhi kukwepa mvua.....
Habari zaidi baadaye