Je, wewe ni MLOKOLE na unatafuta kazi??...Upo tayari kulipwa 450,000 kwa mwezi...BOFYA HAPA


Huduma Ya YEHOVA TONGUE MINISTRY ya MBEZI BEACH, Dar es salaam inatangaza nafasi mbalimbali za kazi za kihuduma kwa vijana wa kikristo waliookoka. 

SIFA ZA WAOMBAJI: 

1. Awe kijana wa kikristo aliye okoka na mwenye hofu kuu ya Mungu. 
2. Elimu ya kuanzia darasa la saba, kidato cha nne hadi cha sita. 
 
3. Awe na wito wa kufanya kazi mbalimbali za kihuduma. 
4. Awe anaabudu katika kanisa lolote la kiroho 

MALIPO : Shilingi ELFU KUMI NA TANO ( Tshs. 15,000/) KWA SIKU. 

Mwisho wa kupokea maombi ni tarehe 30 OKTOBA 2013. Tuandikie barua pepe: ulimiwamungu@gmail.com AU Tupigie 0784406508.

Posted by Bigie on 4:42 AM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.