Lulu Michael afunga na kuomba kwa ajili ya hukumu ya Babu Seya ambayo itasikilizwa tena tarehe 30 mwezi huu
habari za kitaifa 12:02 AM
Haya ni maneno ya mwanadada Elizabeth Michael (LULU) aliyoyaandika mtandaoni akiwaombea kheri Mzee Nguza na mwanawe Papii Kocha wanaosubiria kusikilizwa upya kwa kesi yao iliyowafanya wafungwe kifungo cha maisha jela.
“Ninaamini Mungu yupo...anasikia,anaona na ndiye mwenye kuhukumu kwa Haki...!!!! Dua zangu ziko pamoja na Mzee Nguza na Papii Kocha...!
"Hakuna linaloshindikana mbele ya Mwenyezi Mungu...Kama anaweza kutoa Jaribu basi yeye pia ndo mwenye Uwezo wa kufanya Njia ya kutoka ktk jaribu Hilo...Mwenyezi Mungu awasimamie katika rufaa yenu...! AMEN”
![](http://3.bp.blogspot.com/-ZsDEXsrz-Yg/UmN_vly_FFI/AAAAAAAAnVM/hyf0G4ovOx0/s1600/1.png)
“Ninaamini Mungu yupo...anasikia,anaona na ndiye mwenye kuhukumu kwa Haki...!!!! Dua zangu ziko pamoja na Mzee Nguza na Papii Kocha...!
"Hakuna linaloshindikana mbele ya Mwenyezi Mungu...Kama anaweza kutoa Jaribu basi yeye pia ndo mwenye Uwezo wa kufanya Njia ya kutoka ktk jaribu Hilo...Mwenyezi Mungu awasimamie katika rufaa yenu...! AMEN”
![](http://1.bp.blogspot.com/_MsaNQZtvB5E/StANlDhWFgI/AAAAAAAAAKA/8p5PORokslI/S220/normal_HNH_9244-sapa0207.jpg)