DIVA WA CLOUDS FM AMVAA TENA HUDDAH....KISA NI PENZI LA PREZZO
Posted by Bigie DIVA, habari za kitaifa, huddah 9:32 AMKama utakua ni muumini wa twitter lazima utakuwa unajua kinachoendelea kati ya mshiriki wa BBA kutoka Kenya (2013), Huddah na mtangazaji Diva Loveness love.
kiufupi ni bif kupitia twitter kisa kikiwa ni CMB Prezzo

Katika interview iliyofanywa na Huddah, mrembo huyo wa Kenya amesema hana uhusiano na Prezzo, ni rafiki yake tu, na hana beef yoyote na Diva na kwanza hamfaham.
"you know mimi hupenda kutoa maoni yangu, so saa ile mi natoa maoni yangu mtu ana-judge vingine, mi sina bif na Diva, na simjui, na kama uli-notice i only replied three times."
unajua mi niliandika "lol" after seeing her tweet calling Prezzo "baby", why? i just find it funny, so yeye ndio akawa anaandika all that" amesema Huddah
kwa inavyoonekana Diva alikua akisikiliza radio wakati interview ikiendelea, na haikumchukua dakika nyingi , akaibuka katika mtandao wa twitter:
DIVA WA CLOUDS FM NAYE ATOA PICHA YA NUSU UCHI ILI KUMTEKA PREZZO ANAYEONEKANA KUHAMISHIA PENZI KWA HUDDAH
Posted by Bigie DIVA, habari za kitaifa, huddah, PICHA ZA UCHI, prezzo 7:29 PMBaada ya huddah kuweka picha yake akiwa na prezzo na kuzua gumzo mitandaoni, Diva wa clouds fm ameamua kuweka picha yake ya NUSU UCHI ili kupotezea Aibu hiyo..
"Love at the first sight imekwishaimekwisha."....
Ulimpiga KIBUTI mbunge mh. JEPESI , tena kwa mbwembwe, vijembe na kejeli kibao mtandaoni......
Leo hii jamii inashuhudia unavyoumbuka.Penzi la Huddah na Prezzo lilikuwa wazi na la vitendo.....
Siku moja kabla ya kutolewa katika jumba la big brother, Huudah aliweka wazi juu ya uhusiano wake na Prezzo huku akielezea jinsi alivyo miss kushikwa shikwa...!!
Prezzo na mpenzi wake....Nani alikurupuka kati yake na wewe???
Si mbaya sana, ENDELEA KUWEKA PICHA ZA UCHI, PENGINE ATAHAMISHIA PENZI KWAKO
.
Featured Post
NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini
Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne ambayo ni Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...







