"JACK CHUZ NI MALAYA NA ALINIIBIA MPENZI WANGU.....NAWASHANGAA WANAOSEMA KUWA HUWA NAMTONGEZEA WANAUME" ...JINI KABULA
Posted by Bigie habari za kitaifa, JACK WA CHUZ, jini kabula, MR CHUZ 4:41 AMMWIGIZAJI aliyeng’ara kupitia Tamthilia ya Jumba la Dhahabu, Miriam Jolwa ‘Jini Kabula’, ameirarua ndoa ya mwigizaji mwenzake, Jacqueline Pentzel ‘Jack Chuz’ baada kuambiwa amehusika kuiunganisha ndoa hiyo.
Jini Kabula alifikia hatua ya kufunguka hayo hivi karibuni baada ya Jack Chuz kufunga ndoa na Gadna Dibibi kisha kushushiwa lawama na mwanamke ambaye alizaa na mwanaume huyo wa Jack.
Chanzo kilichoomba hifadhi ya jina kilidai kuwa baada ya Jack Chuz kuolewa, wameibuka watu ambao wanamtuhumu Jini Kabula wakidai ukuwadi wake ndiyo umesababisha Gadna kumuacha mwanamke aliyezaa naye na kumuoa Jack.
“Jini Kabula amechukizwa sana na maneno hayo kwani hata yeye hakumkuwadia Jack, hasira zilipompata ndipo alipotoa siri ambayo hajawahi kuitoa kwamba hata yeye aliwahi kuporwa mume na Jack,” kilisema chanzo hicho.
Akionesha hisia zake kuhusiana na tuhuma hizo za ukuwadi, Jini Kabula alisema hataki kulaumiwa kwani hana tabia za aina hiyo.
“Nachukizwa sana na watu wanaosema nimemshawishi Jack kuolewa wakati nina maisha yangu na yeye ana maisha yake, ana uamuzi wake kwenye maisha yake, naomba ieleweke kuwa mimi si mzazi wa Jack wanikome.
“Mimi siyo kuwadi na wakae wakijua yule ni Jack na mimi ni Miriam, hivyo ni vitu viwili tofauti. Maisha yake hayanihusu na huyo demu aliyezaa na Gadna anashangaa nini Jack kuolewa na mzazi mwenzie wakati mimi sishangai kwa kuwa Jack aliwahi kunipindua kwa baba mtoto wangu Chuz,” alisema.
Chanzo kilichoomba hifadhi ya jina kilidai kuwa baada ya Jack Chuz kuolewa, wameibuka watu ambao wanamtuhumu Jini Kabula wakidai ukuwadi wake ndiyo umesababisha Gadna kumuacha mwanamke aliyezaa naye na kumuoa Jack.
“Jini Kabula amechukizwa sana na maneno hayo kwani hata yeye hakumkuwadia Jack, hasira zilipompata ndipo alipotoa siri ambayo hajawahi kuitoa kwamba hata yeye aliwahi kuporwa mume na Jack,” kilisema chanzo hicho.
“Nachukizwa sana na watu wanaosema nimemshawishi Jack kuolewa wakati nina maisha yangu na yeye ana maisha yake, ana uamuzi wake kwenye maisha yake, naomba ieleweke kuwa mimi si mzazi wa Jack wanikome.
"NATAMANI KUOKOKA NA KUANZA KUIMBA NYIMBO ZA INJILI"...JINI KABULA
Posted by Bigie habari za kitaifa, jini kabula 5:18 AM MSANII wa filamu na muziki Bongo Miriam Jolwa ‘Jini Kabula’ anasema kuwa muziki anaofanya na kundi lake la Scopion Girls ni wa muda tu kama anafanya mazoezi, anafanya hivyo kwa sababu mara nyingi makundi ya muziki wa kizazi kipya hayadumu kwa mantiki hiyo iwapo kundi lao litakufa ataingia rasmi katika kuimba muziki wa Injili.
“Nafanya muziki nikiwa na kundi lengo ni kudumu kwa muda mrefu lakini kama itatokea kuvunjika kundi langu la Scopion Girls basi nitaimba nikiwa pekee yangu lakini si muziki huu wa kidunia bali nitamwimbia Mungu wangu kwa kuimba muziki wa Injili kwa sababu natamani sanakuokoka,”anasema Jini Kabula.
jini kabula akipigana denda na jack
Jini Kabula ambaye ni mzazi mwenzake na mwigizaji na mkurugenzi wa Tuesday Entertainment Ltd Mr. Chuzi pamoja na kuimba muziki pia ni mwigizaji nyota aliyejichukulia umaarufu katika tamthilia ya Jumba la Dhahabu na kushiriki katika filamu nyingi zinazoandaliwa na kampuni mbalimbali.
“Nafanya muziki nikiwa na kundi lengo ni kudumu kwa muda mrefu lakini kama itatokea kuvunjika kundi langu la Scopion Girls basi nitaimba nikiwa pekee yangu lakini si muziki huu wa kidunia bali nitamwimbia Mungu wangu kwa kuimba muziki wa Injili kwa sababu natamani sanakuokoka,”anasema Jini Kabula.
jini kabula akipigana denda na jack
Jini Kabula ambaye ni mzazi mwenzake na mwigizaji na mkurugenzi wa Tuesday Entertainment Ltd Mr. Chuzi pamoja na kuimba muziki pia ni mwigizaji nyota aliyejichukulia umaarufu katika tamthilia ya Jumba la Dhahabu na kushiriki katika filamu nyingi zinazoandaliwa na kampuni mbalimbali.
"JAPOKUWA MIMBA YANGU IMETOKA,LAKINI NI LAZIMA NIZAE NA BUSHOKE".......JINI KABULA
Posted by Bigie bushoke, habari za kitaifa, jini kabula 3:30 AMAkipiga stori na mpekuzi jijini Dar es Salaam, Jini Kabula alisema bado ana hamu ya kuzaa na mpenzi wake huyo.
“Haikuwa riziki, ilikuwa bahati mbaya, dhumuni langu lilikuwa ni kuzaa na Bushoke kwa sababu nampenda, hivyo Mungu akinijalia tena, nitazaa naye tu. Natamani sana niwe mama wa mtoto wake,” alisema Jini Kabula.
"SADAKA ILINIFANYA NIKIMBIE KANISA".....JINI KABULA
Posted by Bigie habari za kitaifa, jini kabula 3:39 PMMwigizaji wa filamu Miriam Jolwa ‘Jini Kabula’ hivi karibuni alidai kuwa siku za nyuma baada ya kuzongwa na matatizo aliamua kumrudia Mungu wake kwa kuokoka katika kanisa moja maeneo ya Mwenge akiamini kuwa anaenda kupata faraja lakini alichokutana nacho huko ikibidi kurudi katika kanisa lake la awali.
“Unajua kuna wakati mtu unapokabiliwa na mitihani unaangalia njia sahihi ya kutafuta utatuzi, kwa wakati huo njia sahihi kwangu niliamua kuokoka na kujiunga na kanisa moja Mwenge, sasa kilichonikimbiza ni pale Mchungaji aliposema Mungu atakubariki ukitoa fedha nyingi kama sadaka,” alisema Kabula.
Jini Kabula kutokana na mahubiri hayo ya kuhimiza sadaka kubwa kuwa ndio kigezo cha kupata Baraka aliona kumbe maskini wanaosali katika kanisa lile wanapoteza muda kwani hawezi kuokolewa kwa sababu ya sadaka zao kuwa ndongo, Kabula akaona ni bora kurudi katika dhehebu lake la Sabato.
.
Featured Post
NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini
Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne ambayo ni Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...





