HAYA NDO MAKAMUZI YA AKUDO USIKU WA KUAMKIA LEO
JAMII 5:42 AM
Prezdaa Msaidizi wa Akudo, Tarcis Masela (katikati) akiserebuka pamoja wanenguaji wa bendi hiyo.
Mfanyabiashara wa Mitumba katika Soko la Makumbusho, Pius Ruta ‘Mzee wa Pamba’ (kulia) akimwagia wekundu wa msimbazi Prezdaa wa bendi hiyo, Christian Bella.
Mkurugenzi Mkuu na mwanamuziki wa Kundi la East African Melody Modern Taarab, Haji Mohammed akiwapagawisha mashabiki leo alfajili.
Haji Mohammed akiimba kwa hisia kali.
Bendi ya Akudo Impact ‘Vijana wa Masauti’ usiku wa kuamkia leo ilinaswa na kamera yetu ikifanya makamuzi kwenye Ukumbi wa Mango Garden jijini Dar es Salaam ambapo kundi la Taarabu la East Africa Melody lilinaswa likikamua kwenye Hoteli ya Travertine jijini Dar.







