KATIKA MAISHA YANGU PESA NDO KILA KITU MAANA NDO KITU KILICHONITOA MOSHI KUNILETA DAR-ASEMA WOLPER

 Jackline Wolper ambaye ni msanii wa filamu nchini amefunguka na kudai kuwa kilichomtoa Moshi kuja Dar ni kutafuta maisha. Mrembo huyu aliweka wazi kuwa kazi kwake ni moja tu, kusaka maisha na si vinginevyo. Hata hivyo msanii huyu kwasasa amesema kuwa yuko kwenye mchakato wa kutoka na filamu mpya mabayo itakuwa kali zaidi ya zote

Posted by Bigie on 11:09 PM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.