MATONYA YUPO KATIKA HATUA ZA MWISHO ZA MAANDALIZI YA VIDEO YAKE MPYA YA "MPERA MPERA"


Baada ya kimya cha muda mrefu Mkali wa miondoko ya Bongo Flava anayejulikana kama Matonya hivi sasa yupo kwenye maandalizi ya Video ya wimbo wake mpya utakaokwenda kwa jina Mpera Mpera”. Utengenezaji wa video unafanyika Kallage Pictures chini ya Kallage.

MORE PICS 

Posted by Bigie on 9:57 PM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.