CCM YAONGOZA KATIKA UCHAGUZI MDOGO WA UDIWANI WA KATA YA MAJENGO MKOANI MBEYA


Chama cha mapinduzi (CCM) kimeendelea kufanya vema katika uchaguzi mdogo wa udiwani baada ya matokeo ya awali katika kata ya Majengo jimbo la Mbeya mjini CCM kuongoza katika vitu vingi zaidi ukilinganisha na Chadema japo hadi sasa matokeo rasmi bado ila dalili za CCM kushinda kata ya majengo ni kubwa huku kata moja kati ya kata hizo mbili matokeo bado na inaelezwa kuwa Chadema inaweza kushinda

Posted by Bigie on 8:35 PM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.