CCM YAITESA CHADEMA:: YAONGOZA KWA KISHINDO KATIKA KATA YA MJI MWEMA HUKO NJOMBE



Matokeo ya uchaguzi mdogo kata ya Mji mwema katika jimbo la Njombe kusini linaloongozwa na spika wa bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania Mhe.Anne Makinda yamempa ushindi mgombea wa CCM Jimy Ngumbuka ambaye kamgalagaza vibaya mgombea wa Chadema aliyekuwa na matumaini makubwa ya ushindi.

Posted by Bigie on 8:33 PM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.