CHADEMA WAJIANDAA KUPINGA MATOKEO YA UCHAGUZI WA IGUNGA
JAMII 8:45 AM
Chama chadema kimegomea matokeo ya ubunge jimbo la Igunga ambapo wanadai kuna vitu ambavyo havijaenda sawa,hivyo kimekimejipanga kufanya mapinduzi ya kidemokrasia na muda si mrefu wataongea na vyombo vya habari.
Kongozi wa chama hiko amesema CHADEMA hakijasaini kukubali matokeo siku ya leo,hata hivyo mgombe wa CUFamejikuta anaangukia pua mbali ya kuwa mgombea bora kwa sera za kueleweka vituo kibao amepata maziro yakumwaga.
Mgombea kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Dokta Dalaly Kafumu ameshinda uchaguzi wa ubunge katika jimbo la Igunga mkoani Tabora.
Mgombea kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Dokta Dalaly Kafumu ameshinda uchaguzi wa ubunge katika jimbo la Igunga mkoani Tabora.
Msimamizi wa uchaguzi Protase Magayane akitangaza matokeo hayo amesema.
Kuwa Dokta Kafumu amepata kura elfu 26434 dhidi ya mpinzani wake Joseph Kashindye wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema aliyepata kura elfu 23 260.
Amesema kura zilizopigwa zilikuwa ni elf 53 672 ambapo kura halali ni elfu 52 487 na zilizoharibika ni kura elfu 1185.
Aidha msimamizi huyo amesema kuwa jumla ya wapiga kura waliojiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura ni laki 17077.






