CHADEMA YATIWA KITANZI KATIKA UCHAGUZI MDOGO KATA YA MIYOMBONI- IRINGA



Matokeo ya uchaguzi mdogo kata ya Kitanzini Miyomboni katika jimbo la Iringa mjini yametangazwa huku kada wa CCM Jesca Msambatavangu akiacha simanzi kwa Chadema baada ya kuibuka kidedea katika matokeo ya jumla na kutangazwa rasmi kuwa diwani wa CCM wa kata hiyo ya Kitanzini Mkiyomboni


Katika matokeo hayo kwa upande wa kituo cha Stendi 'A' huku Chadema kupitia mgombea wake Gervas kalolo imepata kura ( 43 ) kituo cha stendi B' CCM (18 ),Chadema 36 wakati kituo cha Zimamoto CCM (32) Chadema (41) wakati soko kuu CCM (51) Chadema ( 84) Sokoni Kitanzini 1 Chadema ( 35) CCM (58 ) Sokoni Kitanzini 2 Chadema (33) CCM (56) na Kitanzini CCM (75) Chadema (37)

Posted by Bigie on 8:19 PM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.