CHADEMA YAAMBULIA " UPEPO" KATIKA KATA YA GANGILONGA HUKO IRINGA

 
Matokeo ya awali ya uchaguzi mdogo kata ya Gangilonga katika jimbo la Iringa mjini yalianza kutangazwa  tangu jana usiku   huku mgombea wa Chama cha demokrasia na maendeleo (Chadema) Edwin Sambala ambaye alikuwa diwani wa kata hiyo kupitia CCM akijikuta akiambulia UPEPO katika uchaguzi huo baada ya kushindwa na Nicilina Lulandala ambaye ni mwenyekiti wa UWT wilaya ya Iringa mjini.


MATOKEO  YATAKUIJIA HIVI PUNDE

Posted by Bigie on 8:22 PM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.