CLUB YA SIMBA YAKABIDHI ZAWADI KWA MSHINDI WA BAHATI NASIBU YA SIMBA SMS FUN CLUB


Mwenyekiti wa klabu ya Simba, Ismail Aden Rage, akikabidhi pikipiki kwa mshindi wa bahati nasibu ya Simba SMS Fun Club inayoendeshwa na kampuni ya Push Mobile, Bertman Hoza katika hafla iliyofanyika mchana huu katika ukumbi wa Idara ya Habari (MAELEZO) jijini Dar es Salaam.
 
Mshindi wa sh. 50 000 akipokea zawadi yake.

Posted by Bigie on 10:15 AM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.