MAADHIMISHO YA WIKI YA NENDA KWA USALAMA BARABARANI YAZINDULIWA MJINI BUKOBA



Maandamano ya wiki ya nenda kwa usalama barabarani Tarehe 3-10-2011 mpaka 8-10-2011 kitaifa yazinduliwa Mjini Bukoba

Viunga Katikati ya mji wa Bukoba maandamano yalikatiza kuelekea viwanja vya Ghemkana
Wadau Mbalimbali,wawakilishi wa vikundi kadha wa kadha, na mashirika yasiyo ya Kiserikali pamoja na wanafunzi
Barabara ya Samwel Luangisa kuelekea kati ya viunga vya NBC Bank kuelekea Manispaa wengi usema (kuelekea Kaitaba).

Posted by Bigie on 7:03 AM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.