MWIZI AJISALIMISHA BENKI "BAADA YA KUCHEZEA KICHAPO KITAKATIFU"


 Mtuhumiwa wa wizi akipelekwa korokoroni baada ya kujisalimisha katika benki ya Azania Mtaa wa Samora leo baada ya kumwibia mzungu mkoba wake na kuchezea kipigo kutoka kwa wananchi 
 
 Askari wa kampuni binfasi akidhibiti umati uliokuwa ukimuandama jamaa huyo
 Maofisa wa benki ya Azania wakihangaika kuwazuia watu wasiingie ndani ya benki hiyo kumchapa mwizi
 Akidandia gari mwenyewe
 Wananchi walipostukia kuwa anatoroshwa walimfuata hukohuko na kukuta akiondolewa na gari la Polisi kwa mlango wa uani 

Posted by Bigie on 6:57 AM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.