MAKAM WA KWANZA WA RAIS WA ZANZIBAR,MAALIM SEIF AREJEA TOKA INDIA


Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad akisalimiana na Meya wa Jiji la Zanzibar, Khatib Abrahaman, mara baada ya kuwasili Zanzibar akitokea India ambako alikwenda kwa ziara ya kikazi na kuchunguzwa afya yake. Kushoto ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais, Fatma Alhabib Ferej. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais).

Posted by Bigie on 1:35 AM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.