WAAMUA KUPIGANA KISA SH. 500/=>>MBEYA



Vijana ambao hawakuweza kujulikana majina yao wakianza kuzichapa kavukavu kisa sh 500 wanaodaiana 
Sasa wamekamatana na kutwangana makonde
Jamaa wakijaribu kuwaamulia na inashindikana 
Pambano linaendelea
Jamaa washatumbukizana kwenye mtaro
PICHA: MBEYA YETU

Posted by Bigie on 3:04 AM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.