WEMA SEPETU NA DIAMOND WAVISHANA PETE YA UCHUMBA


Msanii wa Bongo Flava Naseeb Abdul 'DIAMOND" alifanya 'suprise' jana usiku Maisha Club kwenye Birthday Party yake,kwa kumvalisha  pete ya uchumba mpenzi wake Wema Abraham Sepetu.



Ndoa ya mastaa hawa inatarajiwa kuwadia hivi karibuni kwani mchakato wa ndoa unaendelea chini kwa chini na ndugu wa karibu,hii itakuwa ni moja ya harusi ambayo itavutia watu wengi jijini DAR.

Posted by Bigie on 9:26 AM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.