WASICHANA WAHAMASISHWA KUJIUNGA NA MASOMO YA SAYANSI NA UFUNDI KATIKA CHUO CHA UFUNDI CHA ARUSHA


DKT. DANIELE PASSALAQUA kutoka mradi wa TTELMS wa Italia akizungumza wakati wa Tamasha la Kuhamasisha wasichana kujiunga na Mafunzo ya Ufundi na Sayansi.
Mkuu wa Chuo cha Ufundi Arusha Dkt Richard Masika akizungumza wakati wa Tamasha la Kuhamasisha wasichana kujiunga na Mafunzo ya Ufundi na Sayansi.
Mgeni Rasmi, Eng. Bi. Margret Muyangi akizungumza na baadhi ya wasicha kutoka Shule mbalimbali za Sekondari wakati wa Tamasha la Kuhamasisha wasichana kujiunga na Mafunzo ya Ufundi na Sayansi.
Baadhi ya Wasicha waliofanya vizuri katika Masomo ya Ufundi na Sayansi katika Chuo cha Ufundi Arusha (ATC) walizawadia kompyuta.

Posted by Bigie on 6:10 PM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.