DR.KIKWETE AKUTANA ANA KWA ANA DR. WILBOARD SLAA WAKATI WA MAZUNGUMZO YA MCHAKATO WA KATIBA(JUMAMOSI USIKU )
JAMII 6:00 PM
Rais Kikwete akiagana na Katibu Mkuu wa Chadema, Dk. Wilbroad Slaa baada ya muendelezo wa mazungumzo ya mchakato wa katiba Ikulu jijini Dar, jana usiku.
Rais Kikwete akifurahia jambo na Dk Slaa wakati wakiagana baada ya muendelezo wa mazungumzo ya mchakato wa katiba Ikulu jijini Dar, jana usiku.
Rais Kikwete akiagana na Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe baada ya muendelezo wa mazungumzo ya mchakato wa katiba Ikulu jijini Dar, jana usiku.
Rais Kikwete akifafanua jambo mbele ya uongozi wa Chadema wakati wa mazungumzo hayo jana usiku Ikulu jijini Dar.
Dk. Slaa akifafanua jambo kwa Rais Kikwete wakati wa muendelezo wa mazungumzo ya mchakato wa katiba Ikulu jijini Dar jana.
...Mazungumzo yakiendelea.
Rais Kikwete akifurahia jambo na Dk Slaa wakati wakiagana baada ya muendelezo wa mazungumzo ya mchakato wa katiba Ikulu jijini Dar, jana usiku.
Rais Kikwete akiagana na Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe baada ya muendelezo wa mazungumzo ya mchakato wa katiba Ikulu jijini Dar, jana usiku.
Rais Kikwete akifafanua jambo mbele ya uongozi wa Chadema wakati wa mazungumzo hayo jana usiku Ikulu jijini Dar.
Dk. Slaa akifafanua jambo kwa Rais Kikwete wakati wa muendelezo wa mazungumzo ya mchakato wa katiba Ikulu jijini Dar jana.
...Mazungumzo yakiendelea.






