KIONGOZI MKUU WA UPINZANI UGANDA ATANGAZA KUACHIA NGAZI


Kiongozi mkuu wa upinzani Uganda, Kiiza Besigye, ametangaza kuachia ngazi mapema kama kiongozi wa chama cha Forum for Democratic Change.

Dr Besigye alisema anataka kujiunga na harakati pana zaidi za kijamii zinazoipa changamoto serikali ya Rais Yoweri Museveni.
 
Amepuuzilia mbali pendekezo kuwa kuondoka kwake kutauacha upinzani bila uongozi thabit.
 
Mwaka jana Dr Besigye alikamtwa mara kwa mara kwa kujihusisha na maandamano ya kuipinga serikali.

Posted by Bigie on 1:37 AM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.