RAIS MSTAAFU WA TANZANIA AREJEA TOKA AFRIKA YA KISINI AMBAKO ALIKWENDA KUHUDHURIA SHEREHE ZA MIAKA 100 YA ANC

Mwenyekiti Mstaafu wa CCM na  Rais Mstaafu Mh. Benjamin Mkapa akilakiwa na Katibu Mkuu wa CCM, Mh. Wilson Mukama alipowasili leo Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam, akitoka Afrika Kusini ambako alimuwakilisha Rais Jakaya Kikwete katika maadhimisho ya miaka 100 ya chama cha ANC. Katikati  ni Mama Anna Mkapa.

Posted by Bigie on 10:23 AM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.