ASKOFU CHENGULA AONGOZA MAANDAMANO YA JUMAPILI YA MATAWI JIJINI MBEYA

Askofu wa jimbo la mbeya Evaristo Chengula akiongaza maandamano ya jumapili ya matawi kuelekea kanisa la bikiramaria wa fatima yaani kanisa la hija jijini mbeya





Nako katikati ya jiji la mbeya maandamano ya jumapili ya matawi yanaendelea kuelekea kanisa la Mt. Anthon wa padua jijini mbeya


Kanisa la hija mwanjelwa

Posted by Bigie on 1:05 AM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.