BI HARUSI AINGIA MITINI..... SHEREHE YAFANYUIKA BILA UWEPO WAKE!

Hii ndio Sehemu ambayo maharusi walitakiwa kukaa

Wageni waalikwa wakiwa wametulia baada ya kupewa taarifa ya kuwa maharusi wameingia mitini
Mwenyekiti wa kamati akiwa na wanakamati wenzake wasijue cha kufanya wakati wa sherehe hizo muda huu
Shampeni ikiwa ina elekea kufunguliwa pasipo na maharusi 

Waalikwa katika Sherehe hizo wakiendelea kuburudika pasipo na maharusi

Msemaji wa Familia akitoa utambulisho
Mama mzazi wa bwana harusi akitambulishwa bila maharusi

Posted by Bigie on 12:07 AM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.