BINTI ALIYETAKA KUJIUA KISA KIFO CHA KANUMBA ATOA KAULI NYINGINE......


Binti alietaka kujiua kisa kifo cha Marehemu Steven Kanumba ametaja kitu kimoja ambacho kinaweza kumuepusha kufanya alichotaka kufanya kwa sababu bado ana machungu ya kifo cha mwigizaji huyo.

Mariam ambae aliachiliwa juzi na polisi baada ya kushikiliwa kwa saa kadhaa kutokana na kutaka kujiua amesema “pengine labda nitakapo kaa karibu na waigizaji wenzake kidogo labda nitakua na amani lakini nitakapo endelea kuishi kule misugusugu au vigwaza roho yangu bado itakua haina amani kwa sababu nikivuta picha yake siwezi kumsahau kusema kweli”

Mariam mwenye umri wa miaka 19, Amesema kuwa  hana uwezo wa kuigiza lakini akiwezeshwa ataweza, na kwa sababu ya Kanumba ataigiza ambapo wakati yupo hospitali kuna dada mwigizaji wa movie za kibongo alimuahidi kumchukua na kumsaidia kwenye uigizaji lakini mpaka sasa hajamuona wala hajapokea simu yake.

Posted by Bigie on 2:17 AM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.