Ndovu Special Malt yanogesha Marketers Night jijini Dar

 Meneja wa Bia ya Ndovu Special Malt ambao ni wadhamini wa kuu wa hafla inayowakutanisha wadau wa Masoko,Pamela Kikuli akizungumza machahe kwenye hafla hiyo inayoendelea hivi sasa kwenye hoteli ya Hyatt Kilimanjaro,jijini Dar es Salaam.
 Meneja wa Bia ya Ndovu Special Malt ambao ni wadhamini wa kuu wa hafla inayowakutanisha wadau wa Masoko,Pamela Kikuli (kulia) akipokea cheti kwa niaba ya wadau wa TBL ambao hawakuweza kuhudhulia kwenye hafla hiyo jioni hii kutoka kwa Dk. Walle Akinyemi wa Kampuni ya Power Talk.
 Kiongozi wa hafla hiyo ya Wadau wa Masoko,Coach Phillip Kambe akifafanua jambo wakati wa hafla hiyo inayoendelea hivi sasa kwenye hoteli ya Hyatt Kilimanjaro,jijini Dar es Salaam.
 Meneja wa bia ya Castle Lager,Kabula Nshimo na Meneja wa Kinywaji cha Redd's,Victoria Kimaro wakionyesha chupa ya bia ya Ndovu Special Malt ambayo imepata tuzo nyingine ya Monde hivi karibuni.

Posted by Bigie on 1:04 PM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.